Wasanii Waguswa na Kijana Aliyeibuliwa na Ugonjwa wa Kutisha

kuna baadhi ya picha na video zimekuwa zikisambaa katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha mtoto wa kiume aliyekonda sana na kudhohofika kiasi kwamba anahitaji msaada wa kila kitu,

Mtoto huyo aliibuliwa na mwanadada floraj lauwo kutoka mwanza, huku akiomba watanzania wamsaidie ili aweze kupata pesa kwa ajili a matibabu yake nje ya nchi  na kuisaidia familia yake kwa ajili ya kupata  chakula bora na malezi mazuri kwa kipindi hiki anachoumwa.

Watu wengi wameguswa lakini  jamii inazidi kuwashukuru wasanii ambao wanamajina katika jamii kwa kuliona hili na kulitolea msaada kwa sababu hii imefanya watu wengine pia waguswe kupita wao.

Wasanii kama Wema Sepetu, Zari the Bossy, Riyama Ally, mwanadada Zamaradi Mketema, kaka Millard Ayo,Dogo janja na wengine wengi ambao waliweza hata kuhamasisha kupitia kurasa zao .

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.