WCB Kumiliki Ndege Yao Wenyewe

Bosi wa kundi la Wasafi ameitambulisha ndege yao itakayokuwa ikitumika katika mizunguko yao katika kipindi hiki cha Wasafi festival hasa pale watakapokuwa wamefika Kenya ambapo watafanya show hiyo Desemba 2.

Fununu zinasema kuwa ndege hiyo i enunuliwa na Diamond platinumz huku wengine wakisema kuwa ni ndege imeandaliwa na waandaji wa tamasha hilo huku  yeye mwenyewe akikaaaa kimya kutokuzungumzia swala hilo hata kwa mara moja.

katika ukurasa wake diamond aliweka picha hiyo huku akisema baadhi ya maneno yenye kuonyesha kiburi cha kuwa na umiliki halaliwa ndege hiyo.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.