“Wema Anasumbuliwa na Pepo La Ngono”- Mwijaku

Muigizaji maarufu wa Bongo movie anayejulikana kama Mwijaku ameibuka na kudai kwamba Msanii mwenzake Madam Wema Sepetu anasumbuliwa na pepo la ngono.

Mwijaku amefunguka hayo alipokuwa anaongelea skendo inayomuandama Wema Sepetu hivi sasa ya kusambaa kwa picha na video akiwa faragha chumbani na mpenzi wake anayeitwa PCK.

Kwenye mahojiano na Millard Ayo, Mwijaku ameibuka na kudai anaamini kabisa Wema atakuwa na pepo la ngono kwa sababu mambo anayofany sio ya kawaida kabisa:

Wema inawezekana sio umaarufu wake unaomsumbua kuna kitu kingine tu kinamsumbua nacho ni pepo la ngono, nisikufiche naongea leo niko hai mpaka nakufa kama hatatibiwa pepo la ngono tutaona anaenda vizuri kesho anaaibika.

Lakini pia leo hii mambo anayefanya Wema hawezi kupata investor serious aka invest Kwenye Wema Sepetu Brand   Kwa sababu hakuna mtu anayeweza kuwekeza kwa mtu ambaye anakuaibisha yaani endorsement zote atapoteza na kuishia kujirudisha nyuma”.

Tangu kusahau kwa video hizo chafu Wema Siku ya jana ameita mkutano na waandishi wa habari na kuomba radhi kwa yote aliyofanya.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.