Wema Aongea Kuhusu Milioni 2 za Idris.

Mwanadada wema sepetu amefunguka na kujibu tetesi za kuwa idris alitaka kumlipia milioni 2 za faini yake siku yake ya hukumu ya kesi ya madawa ya kulevy ailiyosha wiki iliyopita mahakama ya kisutu.

Akiongea na waandishi wa habari baada ya kuulizwa kuhusu habari hizo na jinsi gani alijisikia baada ya kusikia kuwa swala hilo lilisababisha ugomvi kati ya Idris na mpenzi wake wema alianza kwa kucheka na kisha kusema kuwa ni kawaida ya idris kuongea na ndio maana hakutaka kumfatilia sana.

Wema ansema kuwa hayo ni maneno ya utani  tu kutoka kwa idris ambae aliwahi kuwa mpenzi wake hapo awali lakini sio ukweli  wowote.

maneno tu ya idris si mnamjua alivyo,hayo ni maneno tu ya idris bhana (Alisema wema huku akicheka)

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.