Wolper Bado Ateswa na Penzi la Harmonize

Mwanadada mjasiriamali na msanii wa bongo movies Wolper Jackline anaonkana bado kuandamwa na muzimu wa penzi la msanii wa bongo fleva Harmonize kutokana na ukweli kwamba amekuwa akirusha madogo katika mitandao ya kijamii kama vile anarusha madongo hewani na kwamba hawezi kurudiana na harmonize ilhali harmonize mwenyewe hana mpango na maneno yake.

katika ukurasa wake wa instagram , aliandika “taking you back is like trying to put a piece of shit back into my asshole#ebunipumzishenijamani…#nimeshakutoaukurututulia.

Maneno haya yanaonekana kumlenga harmonize kwa sababu kwa sikuza hivi karibuni mpenzi wa harmonize ndie aliekuwa akimtuhumu jack kuwa amekuwa akimtumia meseji za mapenzi harmonize na kwamba anaonekana kutaka kumrudia mwanaume huyo wakati mwenzake ameshaamua ku-move on.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.