Zari Ajibishana na Sanchi Mtandaoni.

Mwanadada Zari The Bossy amejikuta akiingia katika majibizano na Sanchi bada ya mwanadada huyo kumtaka zari kuandika kile anchokiandika kwa lgha ya kiswahili kwa madai kuwa wao watanzania mabo ni mahsmeji zake hawaelewi anachokiongea katika lugha ya kingereza.

Zari ambayo anaonekana alijibu kwa hasira kidogo alisema kuwa swala la watnzania kutokujua kiswahili sio jukumu lake ila ni jukumu la rais wao .

Katika ukurasa wa maoni katika moja ya post ya mwana dada zari mambo yarikuwa hivi kama inavyoonyesha katika picha.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.