Zari awasili Uganda chini ya ulinzi mkali

Mkewe Diamond atamzika aliyekuwa mume wake Ivan Ssemwanga leo. Zari na wanawe watatu waliwasili Uganda kutoka Afrika Kusini Jumapili.

Ndege walioabiri kina Zari ndo pia ilibeba mwili wa mwenda zake. Zari alikua chini ya ulizi mkali alipowasili Uganda.

Mrembo huyo amekuwa akipigwa vita na familia ya Ivan huku wakidai kuwa anataka kupora mali ya mumewe wa kitambo.

Soma pia: Zari apigwa vita kwa maazimio yake ya kutaka kurithi mali ya aliyekua mumewe

Zaidi ya mabondia wawili walionekana wakimzingira Zari alipotua katika uwanja wa kimataifa wa Entebbe.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.