Wasanii Walivyofunika After School Bash Dar ( +pichaz)

Lile tamasha la After School Bash ambalo ukusanya mashabiki kutoka shule mbalimbali nchini lilifanikiwa kufanyika wikied hii huko jijini Dar hyku wasanii wakiacvha historia uwanjani baada ya kuwapagawisha na kutoa burudani ya uhakika.

Wasanii walikuwa wamjiandaa vya kutosha kwa ajili ya kutoa burudani hiyo na wanafunzi walionekana kuchangamka sana kuipokea burudani hiyo :- wasanii waliokuwepo ni kama wanavyoonekana jukwaani.

Karen akiwa stejini akifanya yake na upande wa pili akiwa na Foby

Wanafunzi walioshinda mashindano mbalimbaliwalipewa zawadi , huku wakipewa vocha za kushonea nguoz za shule kwa mwanamitindo martin kadinda.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.