P-Unit and Yvonne Darcq have linked up on ‘Bolingo’ and it’s a big tune (Video)

It’s such a beautiful time to be alive and the reason I’m saying this is because P-Unit, a group that most of us grew up listening to, is still churnfing out music. I mean, isn’t that enough reason to be happy?

Also read: Which P-Unit member has been most successful after they split up?

Now, P-Unit – which is made of Bon Eye, Frasha and Gabu, has teamed up with the beautiful Yvonne Darcq on a new song and it slaps really hard! Like really.

The song dubbed Bolingo, which is a Lingala word that simply means love, has been receiving massive airplay since it was released a few days ago.

Yvonne Darcq
Yvonne Darcq

I don’t know what to make of this song. All I know that is I couldn’t stop listening to it. It has this mix of Lingala and ‘morderness’ that will get you on your feet dancing. Don’t even get me started on the energy that’s on the beat.

The second thing that I love is the hook. It’s too dope and easy to master. I could have written it here for you guys but my knowledge of French and Lingala is not worth talking about. Anyway, Yvonne Darcq totally aced it.

Of course, the P-Unit guys also delivered in this jam. I was not expecting anything less from them. However, if I had to chose one of them, I’ll honestly say that Frasha carried this one home, especially where he is singing in French.

The video was also on point. From the simple shoot locations to the styling to the choreography, I mean what’s there not to love?

P-Unit
P-Unit

Now that I’ve told you about all the things that I love about this jam, I can’t fail to point out that is sounds a lot like a collabo that P-Unit did with Alicious back in 2013 dubbed Mobimba. Look it up.

Watch Bolingo below and tell us what you think.

Msanii Kutoka Kenya Atangaza Kufa Kuoza Kwa Idris Sultan

Msanii wa muziki kutoka DRC Congo ambaye anafanya Shughuli zake za kimuziki nchini Kenya Alicious Theluji ametangaza kuwa amekufa ameoza kwa Mchekeshaji MBongo Idris Sultan.

Alicious ambaye amedai ameshindwa kujizua na hisia zake amefunguka na kudai kuwa kwa sasa hakuna mwanaume anayemvutia na kumpenda kama ilivyo kwa Idris Sultan.

Kwenye mahojiano aliyofanya na kituo cha redio cha Citizen Kupitia kipindi cha Mseto East Africa, Alicious ameweka wazi kuwa Idris ni Crush Wake Lakini pia ni mtu ambaye anampenda sana.

Kwa sasa nipo Single, Idris Hivi karibuni nakuja Tanzania nina Media tour naomba unipokee Airport”.

Lakini pia mrembo huyo aliweka wazi vigezo vya nwanaume anayemtaka na kumtaja kabisa kuwa anamtaka Idris:

Navutiwa sana nadata, umeshawahi kuona mabega ya Idris wewe?”.

 

Sitaki Kusikia Kuhusu Ali Kiba na Diamond Wapeni Nafasi Wasanii Wengine- Alicious

Mwanamuziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anayefanya kazi zake nchini Kenya amefunguka kuwa amechoshwa kusikia tu muziki wa Ali Kiba na Diamond bali amedai anataka kusikia wasnii wengine wengi wenye vipaji kutoka Tanzania.

Kwenye muziki wa Bongo fleva huwezi kukamiika bila ya kuwataja wasanii hawa wawili ambao ni Ali Kiba na Diamond ambao kutokana na ushindani uliopo baina yao umeweza kuwasaidia kwa kiasi kikubwa kukuza mziki wao lakini pia ushindani uliopo baina ya mashabiki zao umeweza kwa kiasi kikubwa kukuza miziki  yao na kuwafikisha hapa walipo leo, lakini kuna wasanii wengi ambao wanakosa nafasi kama walizonazo wasanii hao wawili.

Kwenye mahojiano aliyoyafanya na Bongo 5, Alicious alifunguka kuwa amechoka kuulizwa maswali ya nani mkali kati ya Alikiba na Diamond bali anataka kusikiliza wanamuziki wengine kutoka Tanzania ambao nao wana vipaji;

Nakumbuka mara ya kwanza kuja Tanzania nilifanya interview nyingi na kila interview naulizwa unampenda Alikiba au Diamond? kila siku hadi ikafika wakati nikasema sitaki tena kusikia Ali Kiba na Diamond maana kuna wasanii wengine wengi Tanzania ambao wanafanya kazi vizuri. Lakini kusema kweli Diamond is very talented na Alikiba is very talented sioni maana ya kuwafanya wawe one against the other mi naona wote ni wasanii wakubwa wanajtahidikufanya muziki mzuri lakini nina uhakika kuna wasanii wengine Tanzania”.

Ushindani kati ya Ali Kiba na Diamond ni mzuri maana unamsaidia kila mmoja kukuza mziki wake na kufanya vizuri kutokana na changamoto wanayopeana lakini kwa upande mwingine nahisi umefika wakati wasanii wakubwa kama NavyKenzo, JohMakini, Ommy Dimpoz, Vanessa Mdee, Lady JD na wengineo wapewe nafasi ya kusikika zaidi kwani ninaweza nikasema wakati wasanii hao wawili wakubwa wakipaa kuna wasanii wengine wakubwa wanakosa sapoti ya kutosha.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.