Shekhe Kipozeo Amjibu Alikiba Kuhusu Ku-post Picha za Marehemu.

Kiongozi wa dini, maarufu nchini Shekhe Kipozeo , amefunguka na kumjibu alikiba aliyewahi kuwajibu mashabiki wake kuwa  kwa upande wake  hawezi kupost picha ya marehemu katika ukurasa wake wa kwa sababu dini yake hairuhusu kupost picha ya mtu aliyekiwsha fariki.

Shekhe Kipozeo akiwa kama kiongozi wa dini alifungua na kusema kuwa hakuna dhambi yoyote kupost picha ya mtu aliyekwisha fariki lakini  kitu kischotakiwa ni kuweka mabaya yale hadharani kwa sababu huyo mtu hatunae tena.

Kupost picha ya marehemu hakuna ubaya   wowote,ila tu unatakiwa kutoyataja mabaya yake tu.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.