Hii ndio sababu halisi iliyomtoa Almasi Mzambele WCB

Meneja Biashara wa Baraka the Prince na Bana Music Records, Almasi Mzambele leo alizungumzia sababu halisi ya kutoka WCB.

Akizungumza kwenye show ya  Adam Mchonvu leo 20th April 2017, alieleza kwamba mambo matatu yalifanya atoke WCB;  ubinafsi, wivu na utengano.

”Any way, sikufukuzwa nimetoka, ila kuna mengi japo sijapenda tuzungumzie huko sana. Hapo kwenye ubinafsi ndio point yenyewe, ila tukaushe kwenye hilo.” – Almasi Mzambele.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.