Mume wa Amber Rutty Adondoka Mahakamani

Mume  wa mwanadada Amber Rutty amesemekana kudondoka leo alipokuwa mahakamani ambapo walifika kwa ajili ya kusikiliza kesi yao inayoendelea mahakamani hapo kutokana na wao kuwa huru kwa dhamana kwa muda sasa.

Mwanadada huyo na mume wake ambao wamefunga ndoa siku chache zilizopita walipatwa na ksi ya kuvujisha video wakifanya mapenzi kinyume na maumbile na kusweka lumande kwa muda kidogo mpaka pale walipopata dhamana.

Amber Rutty anasema kuwa sababu kubwa ya mume wake kudondoka mahakamani hapo ni kutokana na ukweli kuwa hakuwa na hali nzuri kwa muda mrefu tangu ametoka selo mara ya mwisho.

Hali yake haikuwa nzuri tangu tulipota rumande, wote tuliondoka na magonjwa lakini mwenzangu hakuwa vizuri zaidi, lakini namshukuru Mungu kwa sasa anaendelea vizuri.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.