Wasanii Wakaa Uchi Wanatuponza Wasanii Wote- A.T

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva nchini AT amefunguka na kudai kuwa kuna baadhi ya wasanii ambao wamekuwa na mtindo wa kukaa uchi mitandaoni hivyo kusababisha taswira mbaya.

AT amefunguka mwanzo mwisho kuhusiana na maisha ya wasanii na kuwashauri endapo wanataka msaada kutoka serikalini hasa kutoka kwa Mhe.Rais basi waache kabisa mambo ya ajabu.

AT amesema hayo huku akitolea mfano wadada wanaokaa uchi mitandaoni na kusema kuwa Mhe. Rais akiytaona hayo ataona hao wasanii ni wahuni tu,kumbe kuna wengine wanaiharibu sanaa yetu.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5, AT amefunguka haya zaidi:

Rais hawezi kuwa na moyo wa kutusaidia wasanii hata siku moja kutokana na haya mambo ya kiki, Hizi mambo zimekuja kutuharibia kila kitu na zitatuharibia kila kitu sasa hivi ykiwaambia wabunge kuhusu wasanii wenyewe wanawajua sikinde tu kwa sababu wanaona wengine ni wakaa uchi na kutushusha thamani wasanii wote wa kweli ambao tunafanya sanaa”.

Lakini pia AT amekemea matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii na kusisitiza kuwa lazima watu watumie vizuri mitandao ya kijamii.

Avril hits back at Tanzanian singer who said on radio that she had no talent whatsoever

Tanzania singer AT had no nice words to say about Avril during an interview on Clouds FM, he claimed the Kenyan songbird was way overrated.

AT was amused why any artiste would wish to work with Avril, the lad said that he discovered she was just a basic singer with no talent.

Also read: “Avril is fake and has no talent!” Popular Tanzanian singer blasts ‘uko’ hit maker

AT

Well, Avril has since responded to AT’s ridiculous slander, she denied knowing the Tanzanian singer despite AT’s claims that he met her in 2010 when he travelled to Kenya to record a song at Ogopa Studio.

Avril

Avril downplayed AT’s allegation saying that there was no need for her to be concerned about his claim since he was a nobody.

“It doesn’t make sense to follow up on somebody who is a nobody,” Avril told Word Is.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.