Ay kufungua Kampuni kwa Jina la Mtoto Wake wa Kwanza.

Msanii mkubwa na mkongwe mweny mafanikio ya chinichini ambwene yesaya ametangaza kufungua kampuni ya usafirishaji huku ikiwa na jina la mtoto wake mpya  wa kiume wa kwanza tangu alipofunga ndoa na mwanamke wake kutoka Rwanda.

Msanii huyo ambae kwa sasa amekuwa akionyesha mafanikio yake sana hasa kupitia kufanya vitu mbalimbali vinavyohusiana na baishara, aliweka tangazo hilo katika ukurasa wake wa instagram huku akisema Coming soon.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.