Baba mzazi wa Diamond Hoi Kitandani.

Baba mzazi wa Diamond Platinumz ameripotiwa kuwa hoi kitandani kutokana na ugoinjwa wa miguu unaomsumbua kwa sasa huku akiwa anaripotiwa kuwa haijulikani anaumwa ugonjwa gani mpaka sasa

Hata hivyo inasemekana kuwa pamoja na kwamba baba huyo amekuwa mgonjwa lakini mtoto wake Diamond Platinumz ameshindwa kwenda kumsaidia hata kwa pesa za matibabu baba yake mzazi.

Baba huyo mzazi amekuwa akiumwa lakini alishawahi  kufanya juu chini kwa ajili ya kufanya mazungumzo na mtoto wake huyo kwa kiume ili kuwa na mahusiano mazuri na mtoto huyo lakini swala hilo linaonekana  kushindikana

Picha inayosambaa ikionyesha hali ya miguu ya baba mzazi wa Diamond

 

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.