Anerlisa Aweka Wazi Walipokutana na Ben pol kwa Mara ya Kwanza

Mwanadada kutoka nchini Kenya ambae kwa sasa amekuwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii Ben pol amefunguka na kuweka wazi kuwa hajakutana na Ben Pol leo wala jana bali ni siku nyingi lakini wamekuwa marafiki kwa muda kabla ya kuwa wapenzi.

Wawili hao ambao wamekuwa wakisemwa sana katika mitandao ya kijamii hasa kutokana na status ya mwanadada huyo, anasema kuwa wamekutana muda mrefu kabla ya kuamua kuwa wapenzi.

Anaerlisa anasema ” we meet in march last year ,  when he become for a media tour in Kenya. ‘ Alisema mwanadada huyo ambae ni mfanyabiashara mkubwa nchini humo.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.