Bilnass na Nandy Kufanya Kazi Pamoja

Ukachana na yake yaliyopita bada ya video yao kuvuja,wasanii bilnass na nandy wameshapanga kufanya kazi pamoja na kwamba waiwli hao hawana ugomvi wowte kwa sasa ni marafiki wakubwa na wataendelea kufanya kazi pamoja.

akiongea na kipindi cha kikaangoni live ya EATV, billnass amethibitisha hayo na kusema kuwa wawili hao hawana ugomvi kabisa kwa sasa.

kuna ngoma tumefanya pamoja , ni ngoma tumefanya chini ya s2kizzy na ninaamini muda wake ukifika tutaitoa tu, na ninachojua ni kwamba wimbo ni mkali tu.kuhusu hilo swala lililotokea , tayari tulishaomba msamaha kwa wananchi na jamii kwa ujumla  na sasa maisha ya kawaida yanaendelea , hivyo hatuna tofauti yoyote ile kwakuwa naiheshimu sana familia yake kwa sababu mama yake amekuwa ni mtu wa kujitoa sana kusapoti kazi za mwanae 

Nandy na Billnass walikumbwa na skendo ya kuvujisha video ilikuwa ikiwaonyesha wakiwa faragha huku wakiwa utupu , video iliyowapelekea kushitakiwa na kukamatwa kwa ajili ya mahojiano lakini walikwenda na kuzungumza na baeaza na kila kitu kuwa sawa baada ya kuomba radhi kwa mashabiki.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.