Chege awashirikisha Ray C na Sanaipei kwenye wimbo wake mpya-Najiuliza

Chege ameamua kuwachia nyimbo mpya ambayo inawazingua mashabiki wake baada ya kuwashirikisha warembo, Ray C na Sanaipei Tande kutoka Kenya.

Watatu hao wamejiunga kwenye wimbo unaozungumzia mapenzi huku Ray C na Sanaipei wakiomuomba Chege achungue mrembo anayemtaka.

Wimbo huu unalenga mambo ambayo wanaume na wanawaka wengi hupitia. Video hiyo imetengenezwa na Kwetu Studio. Itazame hapa

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.