Watanzania Waungana na Nchini Zingine Katika Onyesho la Coke Studio AfrIka

Wasanii mbalimbali ukutana katika onyesho hili huku lengo kubwa ni kuangalia jinsi ya kuweza kuweka vionjo katika nyimbo na kufanya kazi kwa pamoja,onyesho hili huwa na mafunaa sana kwa sababu wasanii wadogo hukutana na wale wakubwa na hata wa kidunia kupata ujuzi mpya katika muziki.

Pia huleta faraja kwa sababu jamsa mpya uzaliwa na kuleta kwa mashabiki, lakini yote mazuri wasanii hupata nafasi ya kukutana na watu ambao baada ya hapo huwezi kupanga na kufanya kazi pamoja, hivyuo huleta undugu wa wasanii wa kiafrika.

Wenda inaweza kuanza kuonekana kwa baadhi ya wasanii wakiweka picha zao na juu ya location zao wakisema wapo COKE STUDIO AFRIKA, ni kweli kabisa kuwa wasanii wa Tanzania pia wameungana katika onyesho hilo kubwa afrika,

Baadhi ya wasanii kutoka Tanzania ni kama Nandy, Mimi Mars, Jux, Harmonize.

kuna wasanii kutoka kenya kama Khaligraph Jones.

Na pia kutoka uganda kama mwanadada Shebbah.

lakini pia inaendelea kunogeshwa na watayarishaji kama Skales na Rude Boy kutoka Nigeria

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.