Hili ndilo onyo Diamond Platnumz alitoa kwa wanawe Tiffah and Nillan

Diamond akitumia mtandao wa instagram ametoa onyo kali kwa wanawe Tiffah na Prince Nillan.

Amewaomba wakikomaa watumie midomo yao vizuri na si kuyaongelea mambo ya watu.

Sababu zake kufanya hivo bado hazijajulikana lakini ni tamaduni kwa waafrika kukashifu watu wanaopenda mambo ya watu wengine.

Huu ndio ujumbe kamili wa Diamond:

 

Prince & Princess Lion!!!.. Midomo mkaitumie vizuri hiyo watoto….? @princenillan @princess_tiffah

A post shared by Chibu Dangote (@diamondplatnumz) on

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.