Tiwa Savage aeleza vitu 3 kuhusu wimbo mpya aliyoshirikishwa na Diamond

Diamond alimshirikisha Tiwa Savage kwenye wimbo wake mpya ‘Fire’. Staa huyo aliachia wimbo huo kwa YouTube siku mbili zilizopita.

Tiwa Savage amefunguka kuhusu wimbo huo ‘Fire’, mrembo huyo alisema aliongea na Diamond kuhusu kushirikiana kutoa wimbo pamoja wakati walikutana wakifanya wimbo wa ‘Africa Rising’ ambayo iliwashirikisha Davido, Tiwa Savage, Diamond ,Micasa na Lola R.

Tiwa alisema kuwa walirecord wimbo huo ‘Fire’ miaka mitatu iliyopita. Alisema pia kuwa ‘Fire’ imeanza kushika Nigeria na barani nzima.

“2014 on the set of the Africa rising project in Ghana @diamondplatnumz and I talked about doing a collaboration and somehow it has taken 3 years but I am so excited that we finally made it happen. The result is another MASSIVE African record. No wonder the title of the record is #FIRE because it has started catching FIRE across the continent” aliandika Tiwa Savage.

 

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.