Mwanadada Irene Uwoya na mume wake Dogo Janja amabao kila siku hawaishiwi na drma ktaika mitandao wanakuja tena kivingine na kuelezea jinsi mwezi mtukufu wa Ramadhani unavyodumisha mahusiano katika ndoa yao.
Akiongea na waandishi wa habari, Irene anasema kuwa akiwa kama mke halali wa Abdul (janjaro) anahaki zote za kukaa na kutulia kipindi hiki cha ramadhan na kumpikia mume wake kwa sababu hicho ni kitu alichozoea hata katika ndoa yake iliyopita.
kuhusu kufunga kwa upande wangu nilishazoea kwa sababu hata siku za nyuma za ramadhani nilikuwa nikifanya hivyo hivyo nilipouwa na ndiku na kwa sababu sasa hiv mimi ni mke halali kabisa wa Abdul basi nina haki ya kutulia na kumpikia mume wangu futari.
Ndoa hii imekuwa ikisema na kuongelewa kila siku katika mitandao ya kijamii huku wengine wakikataa kumaini kuwa wawili hao wanweza kweli kuoana.