Mtoto wa Dokii Aulamba, Apata Nafasi ya Kuondoka na E’too

Mwanadada aliwahi kufanya vizuri sana katika soko la maigizo nchini Ummy Wenslaus amefunguka na kusema kuwa amefurahi kupata bahati ya kuendelezwa kwa kipaji cha mtoto wake wa kiume anaejulikana kama khalfani ambae kwa sasa amekuwa akichezea Singida United.

Mtoto wa Dokii ambae ana kipaji cha mpira amehaidiwa kuchukluliwa na mchezaji huyo   Samuel E’too ambae aalikuwa hapa nchi siku za hivi akribuni na kumuahidi kuwa atakwenda kumtafutia soko nje ya Tanzania ilikukuza kipaji cahke cha mpira.

Dokii anasema “Alikubali kabisa kumchukua alisema kuwa anakwenda kumfanya mpango na kisha kuja kumchukua,ameguswa na mimi single mother hivyo amehaidi kuja kumchukua.

 

Dokii Akanusha Kuhusika na Uongozi Mpya wa Mavoko.

Dada wa msanii Rich Mavoko,  Dokii Wenslaus amefunguka   na kukanusha taarifa za kuwa yeye ndio amehusika katika kumtafutia menejementi mpya na kwamba hakuna ukweli kuwa yeye ndio amempeleka katika lebel ya Billionares Kids.

Dokii alionekana akiwa bega kwa bega na rich mavoko kwa kipindi ambacho walikuwa wakishughulikia kesi yake na wasafi na ndie alietangaza kuwa rich mavoko alikuwa akinyonywa alipouwa akifanya kazi WCB.

Baada ya hapo walithibitisha kuwa msanii huyo kwa sasa amejisajili BASATA sio kama hapo awali alipokuwa akifanya kazi katika lebel hiyo bila kutambulika na serikali.

unajua watu wanaongea sana na wanaongea vitu ambavyo hawajui , wanaongea vitu vingi sana.Ungeenda kuuliza kwanza huko billionares kids ingawa uongozi haupo bado unalega lega  hata wao watakanusha , hakuna kitu kama hiyo.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.