Mambo Nay wa Mitego na Waziri Mwakyembe walizungumzia baada ya kukutana

Hivi leo Nay wa Mitego alikutana na waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Dr. Harrison Mwakyembe ambapo walizungumzia mambo mbalimbali.

Nay amekuwa akizungumziwa kwa muda sasa na ni baada ya kukamatwa na polisi kwa ajili ya wimbo wake wapo ambao ulionekana kukashifu serikali ya Magufuli.

Alikuja kuachiliwa baadaye kwa maagizo ya waziri Mwakyembe na leo walikutana kuongelea mambo tofauti ikiwemo mambo wanafaa kuongeza kwenye wimbo huo.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.