Baby Madaha aeleza sababu yake ya kurudi nyumbani kuwaona wazee wake kila mwaka

Muigizaji wa muvi za Bongo, baby Madaha Joseph hivi karibuni alikiri kuwa kila mwaka yeye hurudi nyumbani kwao kila mwaka kuwaona wazazi na wazee wake wanaoishi mashinani.

Baby Madaha

Mrembo huyu alifunguka kudai kuwa true hufanya jambo hili ilimambo yake yaendelee kwanda vizuri. Kutembea kwa wazazi ‘kutambika’ ni jambo muhimu kulingana na Baby Madaha ndio apate baraka.

Aliambia kipindi cha Motomoto new kuwa hivi sasa yuko nyumbani kwa wazazi wake baada ya kukaa sana mjini bila kuwaona.

“Bila wazee mambo hayaendi kabisa, niko kwetu Mwanza kwa ajili ya kufanya mambo ya kimila ili walau mambo yaende vizuri mjini maana hali imekuwa mbaya sana, nimekuwa nikifanya hivyo kila mwaka na nimeona huwa inasaidia sana,”

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.