Mpenzi Wa Hamisa Atajwa Kuwa Mcheza Mpira Wa Kikapu Nchini Marekani

Mwanamitindo na msanii wa Bongo fleva Hamisa Mobetto alimuweka wazi Mpenzi Wake Mwishoni mwa wiki iliyopita Kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Kwa taarifa zaidi kutoka kwenye mitandao ya kijamii zinasema kijana huyo mtanashati anaitwa Josh Adeyeye ambaye Ana asili ya Nigeria lakini ni mzaliwa wa Marekani.

Josh anatajwa kuwa na umri wa miaka 25 na urefu wa futi 6.5 Lakini pia ni mchezaji wa Basketball na anatajwa kuwahi kucheza katika timu za NBA ingawa hivi sasa ni Free Agent.

Kwenye NBA amechezea timu Kama vile Dolphins, Maine Red claws.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.