Hakuna Harmonize Bila Diamond, Yeye ni Kama Mzazi-Harmonize

Msanii Hrmonize ambae  anaefanya vizuri na wimbo wake mpya wa Kwangaru ambao amemshirikisha bosi wake diamond, harminize amefunguka na kukanusha stori zinazokuwa zinasambaa katika mitandao kuwa yeye ndio ana mkwanja mrefu kuliko bosi wake,

Harmonize amesema kuwa hakuna kitu kama hicho kwa sababu yeye kwa diamond ni kama mtoto kwa baba kwaio maneno yanayosambaa katika mitandao hayana ukweli wowote kuhusu hali zao za kiuchumi kulinagana au yeye kumzidi bosi wake.

‘Diamond kwa harmonize ni kama mzazi , hakuna Harmonize bila Diamond,kwaio hata iweje atabaki kuwa Diamond tu.hizo zingine ni stori tu zipo mtaani.” Alifunguka Harmonize.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.