Picha 5 za muigizaji mkongwe wa Hollywood – Harrison Ford akiwa Tanzania

2017 imekua mwaka wa fanaka kwa utalii nchini Tanzania, wageni mashuhuri wamekuja nchini kuzuru mbuga za wanyama hususan Serengeti.

Will Smith, David Backham na wachezaji mashuhuri wa kandanda duniani wamezuri Tanzania mwaka huu. Mwimbaji Usher Raymond pia alitoa nchini hivi karibuni.

Soma pia: Usher atua Tanzania akisafiri kwa ndege ya kibinafsi

Muigizaji mkongwe wa Hollywood – Harrison Ford maarufu kwa filamu kama ‘Air Force One’, msururu wa ‘Indiana Jones’, ‘The Expendables 3’ na filamu zingine kadhaa, pia alizuru Tanzania.

Harrison Ford alizuru mbuga ya wanyama ya Serengeti, ilijulikana kuwa muigizaji huyo mkongwe alikua Tanzania wakati alikua anaondoka.

Tazama picha za Harrison Ford akiwa Tanzania hapo chini:

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.