Mwanadada mrembo Jackline Mengi amekerwa na wale wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii huku wakitumia mitandao hiyo vibaya na kuifanya kama mwamvuli ya kufanya mambo maovu ambayo wasingeweza kifanya wakiwa mbele ya watu.
Jackline Mengi amesema kuwa watu hao wapo wengi katika jamii tunazoishi kiasi kwamba watu wanatakiwa wafikirie kuwa unapoamua kufanya jambo la kumtukana au kumuumiza mtu mwingien kwa makusudi unatakiwa kuja kabisa kwamba hata yeye anaumia .

