Hivi karibuni mapema siku ya leo Msanii harmonize aliufurahisha umati kwa kile alichokitangaza kuwa aliyewahi kuwa mpezni wake na kisha kugombana nae sana katika mitandao ya kijami Jackline Wolper atakuwpo katika show inayokuja ya harmonize.
Harmonize alisema kuwa ameamua kufanya show hiyo na kumuweka host Jacky ili kwathibitishia mashabiki waliowahi kuwatengeneza wakiwa pamoja kwamba wanafanya kazi kwa sasa laki ni hakuna tena mapenzi.
Hata hivyo jitihada za kumtafuta jacku ziligonha mwaba kwa sababu mwanadada huyo hakuwa anapatikana lakini walimpowapata uongozi wa jacky walisema kuwa hawana taarifa zozote kuhusu show hiyo na kwamba hakuna kitu kama icho.