Mashabiki Wamjia Juu Linah ku-edit picha za Mtoto

Mwanadada linah sanga amejikuta akiingia katika wakati mgumu baada ya mashabiki kumvamia katika mitadnao ya kijamii baada ya kuonekana kuwa amekuwa akitumia application kwa ajili ya kubadilisha muonekano wa mtoto wake na kuwa tofauti na vile alivyo.

mashabiki wamemjia juu msanii huyo na kumwambia kuwa hata kama mtoto wake angekuwa na muonekano gani kwa sababu huyo ni mtoto wake tu hivyo alitakiwa kumkubali na kumependa na sio kumbadilisha  ili aonekane kuwa wa tofauti.

Hayo yote yamekuja baada ya mtoto huyo kuonekana na rangi tofauti na ile aliyonayo kawaida.

 

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.