Madam Flora ako tayari kuingia kwenye ndoa tena na anatafuta mwanaume wa namna hii

Madam Flora amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya ndoa yake na Emmanuel Mbasha kuvunjika.

Amezugumzia sana sana uamuzi wake kwa kujiita madam Flora na hapo awali alijulikana kama Flora Mbasha na vile waliochukulia uamuzi huyo.

Kulingana na yeye, hajaadhirika na ako na amani ndani ya moyo. La si hivyo tu, ako tayari kuingia kwenye ndoa tena na hizi ndio vitu anazotaka kwenye mume.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.