Ni kama mapacha: Vanessa Mdee aonyesha picha ya mamake akiwa msichana mdogo

Muimbaji wa Tanzania Vanessa Mdee ameacha mashabiki wake wakimfananisha na mamake baada ya kupost picha ya kitambo ya mamake mzazi.

Kupitia mtandao wake wa kijamii Vanessa Mdee alipost picha hiyo huku akumsifu mamake kwa urembo aliowapa watoto wake (Vanessa na madada zake). Aliandika caption kusema,

Hi Mommy ? Circa 1976 #MothersDay is everyday ? #SophiasDaughter #ChokerAndAll

Ata hivyo pia aliweza kuajulisha mashabiki wake jina la mamake na kwa mara ya kwanza muimbaji huyu aliweza kushare picha ya mzazi wake kitu ambacho yeye hupenda aukiweka kama private kwa kuwa ni personal life.

Ikiwa umekuwa ukijiuliza mrembo huyu alitoa wake umbo lake na uzuri wake basi tazama picha hii ya mamake akiwa mchanga.

Vanessa Mdee na mamake
mamake Vanessa Mdee
Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.