Hii ndio sababu mama mzazi wa Young D ajitolea kumlea mjukuu wake

Kuna fununu kuwa aliyekuwa mpenzi na mama ya mtoto wa Young D ameamua kumuacha mtoto wao wa miezi 7 na mama mzazi wa Young D.

Mamisar anasemekana kuwa amemuacha Tamar na mamake Young D baada ya kuondoka ilikujishighulisha na maisha yake. Akizungumza kwenye interview….Mamisar alikiri kuwa maneno haya ni ya Kweli na hata hivyo, mrembo huyu alisema kuwa kwa sasa amerudi kazini na ndio maana aliamua kufanya hivi.

Akizungumza kwenye interview, Mamisar alisema…

Mapenzi hakuna tena kati yangu na Young D, ndiyo maana familia yake iliamua kumchukua Tamar ili kumlea kwani nisingeweza kumlea kwa sababu ninafanya kazi. Nikitaka kwenda kumuona ninakwenda kama kawaida na hata nikitaka kulala huko wiki moja, ninalala.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.