Masanja Amtia Moyo Muna Kutokana na Masaibu Yanayomkuta.

Aliyewahi kuwa msnaii wa vichekesho nchini Masanja Mkandamizaji amefunguka na kutoa hisia zake kuhusu yanayoendelea katika mitandao ya kijjamii kati ya Muna na mama yake mzazi ambae wamekuwa wakizozana kila kukicha lakini kwa sasa swala kubwa ikiwa ni hili la muna kutelekeza mtoto.

Masanja anamwambia muna kuwa kuna wakati Mungu anaweza kumtumia shetani kufanya yale anayotaka kuyafanya lakini kupitia watu wake wa karibu kabisa kama inavyotokea kwa muna na mama yake kwa sasa.

Hata hivyo masanja anmwambia Muna kuwa pamoja na kwamba hata yeye hajui ukweli wa mtoto huyo ambae anaambiwa kuwa amemtelekeza lakini anamuomba kuwa na maamuzi ya busara kuamua mambo hasa ukizingatia kuwa anaejaribu kuzozana nae ni mama yake mzazi.

Masanja bado anampa Muna maneno ya kidini na kumwambia kuwa hakuna uokovu usiokuwa na majaribu na ndio maana mungu ana makusudi yake kumtumi kuyavumbua yanayotoka katika mitandao kwa sasa akiwa tayari ameshatangaza kuokoka na wala sio kipindi hicho cha nyuma.

Hata hivyo masanja pia amewatolea povu baada ya watu wanaokaa na kuwahukumu watu ambao wameokoka kwa kuwaangalia muonekano wao.

 

Masanja Amkingia Kifua Diamond platinumz, Asema Kuvaa Kikuku ni Sawa.

Mchungaji maarufu nchini masanja mkndamiza amefunguka na kumkingia diamond kifua huku akisema kuwa kwa mtu kuvaa kikuu ni kawaida tu kamawatu wengine wanapoamua kuvaa cheni hizo mikononi au shingoni au sehemu yoyote.

Masanja anasema kuwa watu wamekuwa wanashindwa kutofautisha kati ya vitu hivi viwili kati ya dhambi na swala la maadili, kuna utofauti mkubwa kati ya dhambi na kile wasichokipenda watu kifanyike hivyo kwake kama mchungaji kuvaa kikuu sio dhambi.

kama mchungaji kuvaa kikuu sio dhambi ,lakini unaambiwa kuwa katika maadili ni dhambi, na je nikawauliza kwani maadili ni nini.kwaio shida ipo katika maadili na hapo ndipo tunasema kuwa watu wanadhani kuwa  ni vile vitu wasivyoviupenda wao.vitu visivyo na maadili mazuri wanadhani kuwa ni dhambi.kuna tofaut sana juuya hivyo vitu viwili.narudia tena kuvaa kikuu sio dhambi kabisa.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.