Tanzania Kuibuka Kidedea Miss Albinism Afrika 2018

Katika kutaa kuonyesha msisitizo juu ya kunyanyapaa watu wenye ulemavu wa ngozi na pia kuuwawa kwao, watu wenye ulemavu wa ngozi maarufu kama albino walikuja na shindano lao la kutafuta mr ,a mrs albinims afrika amshariki ambap mr ametwaa jtaji ili kutokea Tanzania.

Shindano hilo liliofanyika Kenya, lilikuwa na lengo la kuwakutanisha watu wenye matatizo hayo  na kuaweka amoja , lakini ia kuionyesha jamii kuwa hata wao pia wanaweza kufanya yale wanayoweza kufanya wengine.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.