Picha 7 za AY na mpenzi wake ambaye anataka kufunga na yeye ndoa

Wambeya wanasema kuwa safari ya AY kuingia kwenye maisha ya ndoa yaanza kunukia. Hit maker huyo wa ‘Zigo’ alionekana kwa harusi ya Professor Jay akiwa na mpenzi wake huyo.

Black Rhyno – ndugu mdogo wa Professor Jay, alisema kuwa AY alimwambia wakiwa kwa harusi ya Jay kuwa anataka kufunga ndoa na mpenzi wake

“Muda uliopita nilikuwa naongea na AY hapa akawa ananiambia na yeye soon anafunga ndoa na mpenzi wake. Kwa hiyo mimi naweza kusema kila kitu kinakuja kwa wakati,” Black Rhyno aliambia Bongo5.

Tazama picha za AY na mrembo wake hapo chini:

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.