Diamond Alikuwa Hajui Kuimba ;-Mr,Misifa

Aliyewahi uwa meneja wa msanii Daimond platinumz kipindi anaanza muziki, Mr Misifa amefunguka na kusema kuwa kipindi diamond anamfuata na kutaka amsimamie alikuwa hajui kuimba kabisa lakini alimkubali na kuanza kufanya nae kazi.

Hata hivyo Mr misifa anasema kuwa kwa sababu alikuwa hajui kuimba hakumkataa lakini aliamua kumuweka pembeni wa muda wa miaka miwili ili kumtengeneza kbala ajaanza kutoka na wimbo wake wa kamwambie.

Papa Misifa ndie aliekuwa meneja wa kwanza wa msanii Diamond ambae ndie aliemtoa katika game na hata katika wimbo wae wa kwanza wa Kamwambie alitokea katika video hiyo, na yeye pia amekuwa moja ya watu wanaojivunia sana mafanikio ya msanii huyo.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.