Mama Muna Ampeleka Muna Polisi

Mama wa msanii ambae kwa sasa amekuwa akitangaza na kuonekana kuwa ameokoka amekwenda kuchukua jukumu la kumpeleka mtoto wake mahakamani hasa baada ya Muna kumtukana mama huyo katika mitandao ya kijamii lakini kubwa zaidi ni kumkana na kusema kuwa yeye sio mama yake mzazi.

Mama huyo ambae alisimama kwa vyombo vya habari na kuthibitsha taarifa za kuwa Muna alitelekeza mtoto ameamua kufanya uamuzi huo baada ya kuona mtoto wake akimtangazia vibaya katika mitandao ya kijamii wakati mama huyo alionekana hata katika msiba wa mtoto wa Muna .

Imeripotiwa na watu wa karibu kama wWema sepetu kuwa Muna amekuwa hana heshima kwa mama yake huyo na mara nyingi wamekuwa wakigombana  hata marehemu Patrick kuingilia kati ugomv huo na kuwapatanisha.

Awali mama huyo alitrakiwa kuripoti kituoni kwa kosa la kumtangazai habri mbaya za kutelekeza mtoto lakini baada ya hapo na yeye aliamua kumfungulia kesi ya kudhalisha na kumtuka  na kumkana mama huyo.

Haiwezekani Mama wa Mtoto Kujiamulia Wapi pa Kuzika Wakati Baba wa Mtoto Yupo:-Mama Wema

Bado mambo ni kizungumkuti kutokana na kutangaza kwa Muna kuwa mtoto wake atazikwa nyumbani kwake mbezi ilihali watu wa karibu waliokuwa wakimjua muna wanakwenda nyumbani kwa inaesemekana ni baba wa mtoto ambae sio Casto Dickson kama inavyojulikana katika mitandao ya kijamii.

kumegawanyika kwa waombelezaji wengine wakienda mwananyamala kwa peter ambapo ndie mume halali wa muna na aliyemlea muna na mtoto na huku wengine wakienda nyumbani kwa muna kabisa kwa ajili ya maombelezo.

Mama mzazi wa Wema Sepetu na wema sepetu walifika katika maombelezo nyumbani kwa peter mwananyamala , alkini walipoulizwa sababu kubwa ya kuamua kwenda hapo na sio kwingine Mama Wema alisema muna hana mamlaka ya kuamua kwa sababu baba wa mtoto yupo na ushaidi wa kuwa yule ni baba wa mtoto upo pia.

huwezi kama mama mtoto wa kike ukajiamulia mtoto hazikwe wapi wakati baba wa mtoto yupo, na unajua kuwa ulifuata njia zote za wao kuwa pamoja.sisi tunakwenda sehemu ambayo familia ya muna ilipo na pia tunaheshimu sana familai ya muna kwa sababu hapa ndipo walipo familia ya upande wa muna.sisi tunaenda na kumheshimu yule mama wa muna ambae alipokea mahali ya muna.hayo mengine ya mitandao hatuyajui kwakweli tupo hapoa kwa busara zetu na kwa taarifa ambazo zipo baba wa muna alifariki katika hii nyumba (nyumbani kwa peter)

Hata hivyo muna ametoa utata na kusema kuwa mtoto patrick sio wa Peter bali ni wa Xasto na kuna mengi mazito jamii haiyajua lakini anaomba amalize msiba ndipo atawekawazi kia kitu.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.