“Mimi sina mpenzi” Ray C asema

Ingawa Ray C ni mrembo na mwanamke mwenye umbo la malkia bado hajaweza kuanza familia yake kwani hivi sasa hana mpenzi wala hana haraka ya kutafuta mtu wa kumpenda.

Muimbaji huyu amesema kuwa sasa hivi mawazo yake yote yako kwenye muziki na siyo mapenzi. Ray C ambaye alikuwa amepotelea kwenye madawa ya kulevya amejipa muda kufanya kazi yake ambayo aliiwacha baada ya haijakamilika baada ya kuzidiwa na raha ya madawa ya kulevya.

Ray C
Ray C

Hata hivyo akizungumza katika interview Ray C aliweza kusema kuwa hivi sasa anaonelea kuachilia nyimbo ambazo mashabiki wake watafurahia kabla ya kufikiria ikiwa atatafuta mpenzi wa kutulia na yeye. Alisema,

“Mimi sina mpenzi. Kwa sasa nafikiria kuhusu muziki wangu sitaki kujichanganya na mambo mengine. Mashabiki wangu wamenipambania kwa muda mrefu siyo kwaajili ya mpenzi wangu, wao wanataka kazi, muziki mzuri.”

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.