Hivi ndivyo Hamisa Mobetto alivyosheherekea siku ya kuzaliwa ya mwanae

Hamisa Mobetto hajulikana tu kwa sababu ya urembo wake lakini kwa moyo wake mkunjufu na mtu ambae hana neno na mtu yeyote. Ameweza kuiweka maisha yake off mitandaoni na mara moja moja huweza kuposti picha za mwanae ambaye anampenda sana, kulingana na anavyomuongelea kwenye mitandao yake ya kijamii.

Hivi leo mtoto huyo, Fansy amefikisha miaka mitatu tangu azaliwe na kama kawaida Hamisa Mobetto aliziposti picha kadhaa kumsheherekea mwanae kupitia account yake ya instagram. Aliandika kusema…

Happy birthday my Baby nakupenda @misfansy .

Model huyu aliposti picha kadhaa ambazo zimewaacha mashabiki wake wakitamani anavyomlea mwanake. Ata hivyo tazama picha hizo hapa.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.