Penzi la Nay na Nini Matatani

Msanii wa bongo fleva, Nay wa Mitego ametangaza kuwa single katika ukurasa wake wa instagram huku katika ukurasa wa mpenzi wake Nini akiandika maneno yenye kuashiria kuwa mahusiano yake hayajakaa sawa.

Wakitumia kurasa zao za instagram, nini na nay kwa nyakati tfauti wameandika maneno yenye kuacha maswali mengi kwa mashabiki zao.katika ukuarasa wa nay aliandika:ITS OFFICIAL SINGLE, usichangie chochote , wala sihitaji comments  ata moja , no ushauri wala maoni , yaani ni hivyo hivyo tu am single.”

wakati katika ukurasa wa nini aliandika “kwenye haya maisha unaweza ukampenda, ukamjali  na kumheshimu mtu lakini akakuona kama fala, na akishajua hivyo ndo anakufanyia vituko kila sehemu  maka ukajua kumpenda. but all in all lazima maisha yaendelee, there are dream need to be fulfilled,  and responsibilities  to be  done , hata bila wewe mbona mi naweza tu.TUSIENDESHANE”

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.