Mipango ya ndoa ya Shilole sasa imeiva

Zuwena Mohammed maarufu kama Shilole sasa yuko tayari kuwa mke wa mtu. Mrembo huyo sasa amebaki na miezi mbili tu afunge ndoa na mpenzi wake.

Kitu ambacho kimebaki kwa sasa ni kutoa kadi za mwaliko kwa ndugu, jamaa na marafiki kwani Shilole atafunga ndoa Oktoba, mwaka huu, jijini Dar es Salaam.

Shilole

Msanii huyo aliambia Mtanzania kuwa anamshukuru Mungu na amewataka wasanii wenzake na mashabiki kumpa sapoti katika ndoa yake.

“Mipango ya ndoa inakwenda vizuri, hivyo Oktoba mwaka huu utakuwa mwezi wetu ambao Mwenyezi Mungu atatubariki kuunganisha familia,” alisema Shilole.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.