Matonya awachia video mpya – ‘Nifungulie’

Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, muimbaji wa Tanzania Matonya ameachia wimbo mpya uitwao Nifungulie.

Wimbo huu unamaudhui ya mapenzi na kwa mara ya kwanza ameambatanisha video ya kufurahisha macho. Matonya anasimulia mapenzi ambayo anaona awache baada ya kuumizwa sana na mpenzi wake.

Anaendelea kwa kumsihi mrembo wake amfungulie kwani amechoka kuumizwa na mapenzi haya yasiyo ya heri. Tazama wimbo huu hapa chini;

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.