Msanii wa kizazi kipya nchi Nuh Mziwanda anapata maumivu makali na kilio baada ya kusema kuwa mtoto wake wa kike alibahatika kuzaa na mwanamke aliwahi kufunga nae ndoa na kisha kuachana nawal amekuwa akimbemenda mtoto na kumuharibu katika malezi.
Nuh anasema kuwa anakuwa anaumia sana kutokana na maisha magumu amabyo amekuwa akiyaishi mtoto wake kwa mama yake huku mama huyo akikataa kumpa mtoto huyo na anaona kabisa kuwa mama huyo malezi yamemshinda na anamuharibu mtoto.
Bora angekuwa analea mtoto lakini cha ajabu amekuwa aki-date na watu tofauti tofauti huku akiwa analea mtoto,mii sijakataza yeye kufanya mambo yake lakini yeye anatoka na watu ambao mimi sitaki , namwambia anipe tu mtoto wangu akitaka kumuaona aje amchukue siku mbili au tau kisha amrudishe yeye aendelee na mambo yake , mimi nataka mwanangu aishi maisha mazuri lakini mwanangu anaishi katika mazingira mabaya
Nuh aliingia katika mahusiano ya kimapenzi na nawal baada ya kuachana na shiloleh na kisha kupata mtoto mmoja wa kike lakini wawili hao maisha ya ndoa yaliwashinda na kuwafanya kuachana na kila mtu kuangalia ustaarbu wake lakini swala linabaki kuwa waili hao wanatakiwa kusgirikiana kumlea kiumbe walichokileta Duniani lakini shida inakuja upande wa mama kama anvyosema baba wa mtoto.