Picha 10 za mtoto wa Ali Kiba ambazo ni dhibitisho kuwa anang’ara kuliko wasanii wengi wa Bongo

Wasanii wengi Tanzania hawajaekeza katika muonekano wao wa kimavazi; Diamond Ali Kiba, Dogo Njanja ni miongoni mwa wasanii wa Bongo ambao wanajulikana kung’ara sana kimavazi.

Inaonekana Ali Kiba anamfunza mwanawe Prince Sameer Ali Kiba jinsi ya kung’ara. Prince Sameer tayari anavutia kwa mavazi yake ilhali yeye bado ni mchanga.

Tazama picha za Prince Sameer hapo chini:

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.