Alikiba asheherekea siku ya kuzaliwa ya mwana wake na ujumbe huu

Alikiba hivi karibuni alisheherekea miaka 7 tangu mtoto wake wa kwanza kuzaliwa. Msanii huyu wa Bongo aliziweka picha kadhaa akimtakia Kiba junior miaka mingi duniani anapoendelea kukua.

Kama wasanii wenzake Alikiba alimwandika Prince Sameer ujumbe wa kuvutia huku akimtakia mwanae kila laheri kupitia mtandao wake wa Instagram. Kiba aliandika,

“Haya kibaba Miaka 7 sasa @kiba_junior mwenyezi mungu akupe umri mrefu wenye faida kwake na kwako InshALLAH

Tazama picha kutoka sherehe hiyo hapa;

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.