Queen Vee Amkabidhi Zawadi ya Gari Calisah

Mwanadada mrembo kutoka Kenya amabae kwa sasa amesemekana kuwa na mahusinao ya kimapenzi na mwanamitindo kutoka nchini Tanzania, Calisah ameonekna leo katika picha iliyosambaa sana katika mitandao ya kijamii wakuwa na gari jipya, gari inayosemwa kuwa mwanadada huyoa memkabidhi mwanamitindo huyo.

Calisah na Queen vee hawakuanza mapenzi yao muda mrefu kwa sababu Queen Vee alikuwa  katika mahusiano na mwanamuziki otile brown na baada ya kuachana waligombana sana na hata kufikia hatua ya kuweka baadhi ya siri zao hadharani.

Hata hivyo zawadi ya calisah kutoka kwa Queen Vee inasemwa kuwa ni zawadi kutokana na mapenzi na mahaba anayoyapa mwanadada huyo kwa mwanaume huyo.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.