Chuchu hans . Ray Waachana

Wazazi wawili ambao hivi karibuni tu walikuwa wkaisherekea miaka miwili ya kuzaliwa kwa kilichokuwa kikiwaunganisha , Ray na Chuchu hans  wanasemekana kuwa wameachana na kwamba kwa sasa kila mmoja amekuwa na hamisini zake na maisha yake huku ikiwa haijjajulikana mpaka sasa mtoto ni mali ya  nani.

Wawili hao walitrend sana katika mitandao , ukiachana na kufaya kazi pamoja lakini pia kutokana na kuwa na ushirikiano mkubwa katika kazi , malezi na hata mapenzi wanasemwa kuachana huku chanzo cha mfarakano wao ukiwa bado haujajulikana mpaka sasa.

Hata hivyo wawili hao bado wanatafutwa kwa udi na uvumba ili kuthibitisha taarifa hizo.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.