Rc Makonda aanda Mpango wa Kumsaidia Chid Benz

Baada ya ukimya mrefu kwenye game ya Bongofleva, Rapa Chid Benz ‘Chuma’ ameeleza kwamba Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, ameamua kumsapoti katika kazi zake kwa mwaka 2019.

Akifanya mahojiano na moja ya Tv kubwa nchini Tanzania Benz amesema kuwa “Mh Makonda mi namuita Paul ameamua kunisaidia mdogo wake, kaniambia Chidi hakuna kuona aibu ongea na watu wako, sema waambie watuchangie mimi nguvu yangu itakuwa ndogo bado inahitajika nguvu ya watu wengine”
Kuhusu mipango mingine waliyoizungumza na Mkuu huyo wa Mkoa wa Dar es salaam, Chid amesema kwa sasa hatoizungumzia sana bali anamuacha kiongozi huyo afanye kwanza kwa kuwa yeye ndiye ameamua kuiweka mipango hiyo.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.